WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, June 23, 2016

SPIKA WA BUNGE ALIPOANDAA FUTARI KATIKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA.

Waheshimiwa Wabunge, Wafanyakazi wa Bunge pamoja na Wanachi mbalimbali wakichukua Chakula wakati wa Futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.

Waheshimiwa Wabunge wakiendelea kula wakati wa Futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.

Waheshimiwa Wabunge wakiendelea kula wakati wa Futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.

Waheshimiwa Wabunge, Wafanyakazi wa Bunge pamoja na Wanachi mbalimbali wakiwa wamekusanyika kwa ajili ya Futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.

Waheshimiwa Wabunge, Wafanyakazi wa Bunge pamoja na Wanachi mbalimbali wakiwa wamekusanyika kwa ajili ya Futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.

Waheshimiwa Wabunge, Wafanyakazi wa Bunge pamoja na Wanachi mbalimbali wakichukua Chakula wakati wa Futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.

Waheshimiwa Wabunge wakiendelea kuchukua Chakula wakati wa Futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.

Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson (wa pili toka kushoto) pamoja na Mawaziri na Wabunge wakiendelea kula wakati wa Futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai.

Mhe Waziri Mkuu Majaliwa Kassim akizungumza na Mwenyekiti wa Bunge Mhe Azzan Zungu (Mb) wakati wa Futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai.

Mwenyekiti wa Bunge Mheshimiwa Azzan Zungu (Mb) akizungumza kwa Niaba ya Spika wa Bunge wakati wa Futari iliyoandaliwa na Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai, kulia ni Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim.

No comments:

Post a Comment