WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, October 27, 2016

KAMATI YA PAC YAENDELEA NA VIKAO VYAKE DODOMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma (PAC), Mheshimiwa Naghenjwa Kaboyoka akiongoza kikao cha Kamati hiyo ambapo  Kamati  ilikataa taarifa hesabu za shirika la Maendeleo ya Petrol  (TPDC) zinazoishia mwaka 2014/15 kutokana na taarifa hiyo kuchelewa kuwasilishwa katika Kamati.

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petrol (katikakati), Profesa Sufian Bukurura akisikiliza hoja za Kamati katika kikao hicho leo Mjini Dodoma wa kwanza kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Shirika hilo, Ndg.Kapulya Msomba.


Mjumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Dkt.Haji Mponda akiuhoji uongozi wa Shirika la Maendeleo (TPDC) kwa kuchelewa kuwasilisha taarifa yao mbele ya Kamati hiyo

No comments:

Post a Comment