WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, October 28, 2016

SPIKA WA BUNGE ALIPOTEMBELEA KAMATI YA SHERIA NDOGO

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akitoa ufafanuzi wa jambo alipotembelea Kamati ya Sheria Ndogo katika ukumbi wa Hazina leo Manispaa ya Dodoma

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai na Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria Ndogo wakifurahia jambo baada ya kutembelea Kamati hiyo leo.

Mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Sheria Ndogo akichangia mada baada ya Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai na ofisi yake kuwasili katika Kamati hiyo.

No comments:

Post a Comment