WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, October 26, 2016

PAC yakutana na TANESCO

Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mheshimiwa Japhet Hasunga akiuliza swali kwa maafisa wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wakati Kamati hiyo ilipokuwa ikichambua Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu hoja za ukaguzi za Shirika hilo.

Maafisa kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo, Felchesmi Mramba wakiwa mbele ya wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali kujibu hoja za wajumbe wa Kamati hiyo kuhusiana Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu hoja za ukaguzi za Shirika hilo.


No comments:

Post a Comment