WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, October 3, 2016

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA CUBA

Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akisalimiana na Makamu wa Rais wa Cuba Mhe.  Salvador Antonio Valdes  Mesa walipokutana kwa ajili ya mazungumzo Jijini Dar es Salaam.

Mazungumzo yakiendelea kati ya Ujumbe uliogozwa na  Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (kulia) pamoja  na ujumbe uliongozwa  na Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Salvador Antonio Valdes Mesa (kushoto).

Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai katika picha ya pamoja  na Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Salvador Antonio Valdes Mesa mara baada ya mazungumzo.

Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (wa pili kutoka kulia) na Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Salvador Antonio Valdes Mesa (wa pili toka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na ujumbe waliombatana nao toka pande zote mbili.

Makamu wa Rais wa Cuba  Mhe Salvador Antonio Valdes Mesa akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai wakati akimkabidhi zawadi mara baada ya kuzungumza naye Jijini Dar es Salaam.

Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akimkabidhi zawadi Makamu wa Rais wa Cuba  Mhe Salvador Antonio Valdes Mesa mara baada ya kuzungumza naye Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment