WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, October 5, 2016

SPIKA WA BUNGE MHESHIMIWA JOB NDUGAI APOKEA UJUMBE WA BARUA KUTOKA KWA SPIKA WA BUNGE LA PAKSTANI MHESHIMIWA SARDAR AYAZ SADIQ.


1.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Pakstani Nchini Tanzania Mheshimiwa Amir Mohamed Khan wakati Balozi huyo alipomtembelea Ofini kwake leo Mjini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akipokea barua kutoka kwa Mheshimiwa Spika wa Bunge la Pakistani Mheshimiwa, Sardar  Ayaz Sadiq iliyowasilishwaa leo ofisini kwake Mjini Dodoma na Balozi wa Pakstani Nchini Tanzania Mheshimiwa Amir Mohamed Khan.

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akimsikiliza Balozi wa Pakstani nchini Tanzania Mheshimiwa Amir Mohamed Khan.
mara baada ya Balozi huyo kuwasilisha barua kutoka kwa Spika wa Bunge la Pakistani Mheshimiwa, Sardar  Ayaz Sadiq, tukio hilo limefanyika leo Ofisini kwa Mheshimiwa Spika Mjini Dodoma.


No comments:

Post a Comment