|  | 
| Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Mheshimiwa Juma Hamad Omar akisisitiza jambo katika kikao cha Kamati hiyo. | 
|  | 
| Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Ashatu Kijaji akitoa ufafanuzi mbele ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kilichofanyika leo Mjini Dodoma | 
|  | 
| Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Mheshimiwa Aeshi Hilary akichangia jambo katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika leo Mjini Dodoma. | 
 



 
No comments:
Post a Comment