WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, January 25, 2017

TAMISEMI yawasilisha taarifa ya ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki kwa Kamati

 Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakipokea na Kujadili Taarifa ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kuhusu Tathimini ya Mfumo wa Ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki katika Halmashauri nchini na Utekelezaji wa zoezi la kubaini Wanafunzi hewa katika Shule za Msingi na Sekondari za Serikali nchini.
  Mkurugenzi wa Idara ya  Teknolojia ya Habari na Mawasiliano OR – TAMISEMI, Erick Kitali, akiwasilisha Taarifa ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kuhusu Tathimini ya Mfumo wa Ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki katika Halmashauri nchini na Utekelezaji wa zoezi la kubaini Wanafunzi hewa katika Shule za Msingi na Sekondari za Serikali nchini mbele ya kamati hiyo.
  Naibu Waziri  OR – TAMISEMI, Mhe. Selemani Jafo akifafanua jambo mbele ya Kamati ya akifafanua jambo mbele ya Kamati hiyo.




No comments:

Post a Comment