WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, January 23, 2017

KAMATI TATU ZAKUTANA KUJADILI CHANGAMOTO ZA BANDARI

Wajumbe wa Kamati ya Bajeti, Kamati ya Miundombinu na Kamati ya Viwanda, Biashara  na Mazingira wamekutana kwa pamoja leo Mjini Dodoma kujadili changamoto mbalimbali za Bandari.kikao hicho kiliongozwa na wenyeviti ambao ni Profesa Norman Sigala King (Miundombuni) wa katikati ni Dk. Dalay Kafumu (Viwanda, Biashara na Mazingira) na Mhe. Josephat Kandege (Bajeti)
Wajumbe wa Kamati ya Bajeti, Kamati ya Miundombinu na Kamati ya Viwanda, Biashara  na Mazingira wamekutana kwa pamoja leo Mjini Dodoma kujadili changamoto mbalimbali za Bandari.
Wajumbe wa Kamati ya Bajeti, Kamati ya Miundombinu na Kamati ya Viwanda, Biashara  na Mazingira wakifuatilia mjadala katika kikao cha Kamati leo Mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment