WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, March 31, 2017

KAMATI YA KATIBA NA SHERIA YAENDELEA NA UCHAMBUZI WA BAJETI.

Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Profesa Paramagamba Kabudi akijibu hoja za wajumbe wa Kamati ya Bunge ya  Katiba na Sheria baada ya Wizara yake kuwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria  kwa Mwaka wa Fedha 2016/17 pamoja na Makadirio ya Mapato na  Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2017/18 katika kikao kilichofanyika leo Mjini Dodoma.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria wakijadili Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria  kwa Mwaka wa Fedha 2016/17 pamoja na Makadirio ya Mapato na  Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2017/18 katika kikao kilichofanyika leo Mjini Dodoma.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, Mhe. Rashid Shangazi (katikakati) akimsikiliza Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Profesa Paramagamba Kabudi wakati akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara yake kwa Mwaka wa Fedha 2016/17 pamoja na Makadirio ya Mapato na  Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2017/18 katika kikao kilichofanyika leo Mjini Dodoma.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria wakifuatilia kwa makini Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria  kwa Mwaka wa Fedha 2016/17 pamoja na Makadirio ya Mapato na  Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2017/18 katika kikao kilichofanyika leo Mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment