WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, March 30, 2017

KAMATI YA MIUNDOMBINU YAJADILI BAJETI YA WIZARA YA UJENZI

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakiwa katika kikao ambapo leo wamepokea Taarifa
kuhusu utekelezaji wa bajeti ya Mwaka wa Fedha 2016/17 pamoja na makadirio ya mapato na matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2017/18  ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakifuatilia mjadala katika kikao hicho ambapo leo wamepokea Taarifa kuhusu utekelezaji wa bajeti ya Mwaka wa Fedha 2016/17 pamoja na makadirio ya mapato na matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2017/18  ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

No comments:

Post a Comment