WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, April 22, 2017

SPIKA WA BUNGE AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU DKT ELLY MACHA




  Spika wa Bunge la Tanzania Mhe.  Job Ndugai akiweka shada la maua katika kaburi marehemu Mhe. Dkt. Elly Marko Macha wakati alipongoza waombolezaji katika mazishi ya marehemu yaliyofanyika katika kijijini cha Kirua Vunjo, mkoani Kirimanjaro.


Spika wa Bunge Tanzania Mhe. Job Ndugai (katikati) akifatilia ibada ya mazishi ya Marehemu Mhe. Dkt Elly Macha alipongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya marehemu yaliyofanyika leo katika kijijini cha Kirua Vunjo, mkoani Kirimanjaro, kulia ni Naibu wa Spika Mhe. Dkt Tulia Ackson  na kushoto ni Kiongozi wa kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni Mhe. Freeman Mbowe.


   Wapambe wa Bunge wakilipeleka jeneza la Marehemu Dkt Elly Macha ili likahifadhiwe katika nyumba yake ya milele.


Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mhe.  Dkt Ackson Tulia akiweka shada la maua katika kaburi marehemu Mhe. Dkt. Elly Marko Macha wakati wa mazishi ya marehemu yaliyofanyika katika kijiji cha Kirua Vunjo, mkoani Kirimanjaro.

No comments:

Post a Comment