WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, May 30, 2017

MHE SPIKA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MCHUNGAJI LUSEKELO "MZEE WA UPAKO"




Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mchungaji Anthony Lusekelo (kulia) alipomtembelea leo katika ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akizungumza na ugeni kutoka Kanisa la Maombezi (GRC) ulioongozwa na Mchungaji Anthony Lusekelo (kulia) katika kikao kilichofanyika Ofisini kwake Mjini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akizungumza na ugeni kutoka Kanisa la Maombezi (GRC) ulioongozwa na Mchungaji Anthony Lusekelo (kulia) katika kikao kilichofanyika Ofisini kwake Mjini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Kanisa la Maombezi (GRC) ulioongozwa na Mchungaji Anthony Lusekelo (kulia) katika kikao kilichofanyika Ofisini kwake Mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment