WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, July 27, 2017

MHE. SPIKA AKIWA NCHINI NIGERIA KUHUDHURIA MKUTANO WA MASPIKA



 Mhe. Spika Job  Ndugai akiwa katika mazungumzo na Maspika wa Nchi za Uganda (kwanza kushoto) Mhe. Rebeka Kadaga ,Afrika Kusini (pili kushoto)Mhe. Thandi Modise na Naibu Spika wa Cameroon kulia) Mhe. Monjowa Lifaka .Spika Ndugai yuko nchini Nigeria kuhudhuria mkutano wa Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Barani Afrika.


 Mhe. Spika Job  Ndugai akiwa katika mazungumzo na Maspika wa Nchi za Uganda (kwanza kushoto) Mhe. Rebeka Kadaga ,Afrika Kusini (pili kushoto)Mhe. Thandi Modise na Naibu Spika wa Cameroon kulia) Mhe. Monjowa Lifaka .Spika Ndugai yuko nchini Nigeria kuhudhuria mkutano wa Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Barani Afrika.


No comments:

Post a Comment