WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, July 19, 2017

MHESHIMIWA SPIKA AHUDHURIA MAZISHI YA MKE WA DKT. HARRISON MWAKYEMBE

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisaini kitabu cha Maombolezo wakati wa mazishi ya Mke wa Waziri Wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Dkt Harrison Mwakyembe, Marehemu Linah Mwakyembe Wilayani Kyela, Jijini Mbeya

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akimfariji Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe wakati mazishi ya Mke wake, Marehemu Linah Mwakyembe Wilayani Kyela, Jijini Mbeya.

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akimsabai Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe wakati mazishi ya Mke wake, Marehemu Linah Mwakyembe Wilayani Kyela, Jijini Mbeya.

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akitoa Salamu za Heshima kwa mwili wa Mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe, Marehemu Linah Mwakyembe wakati wa mazishi yake nyumbani kwake Wilayani Kyela, Jijini Mbeya.
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa (wa kwanza toka kushoto)Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai, Naibu Spika Dkt Tulia Ackson wakifuatilia misa ya mazishi ya Mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe, Marehemu Linah Mwakyembe wakati wa mazishi yake nyumbani kwake Wilayani Kyela, Jijini Mbeya

No comments:

Post a Comment