WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, July 19, 2017

SPIKA APATA UGENI KUTOKA BARAZA LA UMOJA WA MATAIFA WA HAKI ZA BINADAMU

Spika wa Bunge,  Mhe.  Job Ndugai (kulia) akimueleza jambo Mtaalamu wa kujitegemea kutoka Baraza la Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu, lipo Geneva, Switzerland Ndg. Ikponwosa Ero,  nyumbani kwake Mjini Dodoma. katikati ni Katibu wa Spika, Ndg. Said Yakubu. 



Spika akiwa na ugeni  huo kutoka Baraza la Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu lenye Makao Makuu yake Geneva, Switzerland wakiongozwa na Ndg. Ikponwosa Ero (wa pili kushoto) uliomtembelea nyumbani kwake Mjini Dodoma.


Add caption
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akimsikiliza Mtaalamu wa kujitegemea kutoka Baraza la Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu, Ndg. Ikponwosa Ero ,  nyumbani kwake Mjini Dodoma. katikati ni katibu wa Spika, Ndg. Said Yakub

No comments:

Post a Comment