WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, July 13, 2017

SPIKA ATEMBELEWA NA RAIS MSTAAFU WA IRELAND NA MAMA GRACA MACHEL

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto)akisalimiana na Rais Mstaafu wa Ireland (kulia) Mheshimiwa Mary Robnson ambae pia ni Mjumbe wa  “The Elders” Taasisi inayoshughulika na Amani, Haki za Binadamu na Huduma za Afya. Katikati ni Mama Graca Machel .Tukio lilimefanyika leo katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma baada ya wageni hao kutembelea Bunge.

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia)akizungumza na wageni kutoka  Taasisi inayoshughulika na Amani, Haki za Binadamu na Huduma za Afya  "The Elders"  walipomtembelea leo ofisini kwake Mjini Dodoma, katikati ni Rais Mstaafu wa Ireland  Mheshimiwa Mary Robinson ni Mama Graca Machel


Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia)akimkabidhi  Picha ya Jengo la Bunge la Tanzania Rais Mstaafu wa Ireland Mheshimiwa Mary Robinson wakati  alipotembelea Ukumbi wa Bunge la Tanzania ulipo Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia) akimsikiliza Mjumbe wa  “The Elders” Taasisi inayoshughulika na Amani, Haki za Binadamu na Huduma za Afya, Mama Graca Machel (kushoto) katika kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake Mjini Dodoma, katikati ni Rais Mstaafu wa Ireland ambae pia ni Mjumbe kutoka Taasisi hiyo Mheshimiwa Mary Robinson
Rais Mstaafu wa Ireland, Mheshimiwa Mary Robinson akitoa neno la shukrani kwa Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai mara baada ya  kutembelea Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma kulia ni Mama Graca Machel

No comments:

Post a Comment