WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, August 31, 2017

CAG atoa semina kwa Kamati ya Bunge ya Bajeti

 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad akiwasilisha mada kwa Kamati ya Bunge ya Bajeti katika semina iliyohusu Ripoti za CAG  kuhusu kaguzi za taarifa za fedha kwa mwaka ulioshia tarehe 30 Juni, 2016. Semin hiyo imefanyika katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad akiwasilisha mada kwa Kamati ya Bunge ya Bajeti katika semina iliyohusu Ripoti za CAG  kuhusu kaguzi za taarifa za fedha kwa mwaka ulioshia tarehe 30 Juni, 2016

No comments:

Post a Comment