WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, August 30, 2017

KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YAENDELEA NA ZIARA YAKE KATIKA CHUO CHA KODI NA CHUO CHA UHASIBU

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Chuo cha Kodi wakati Kamati hiyo ilipofanya ziara katika chuo hicho Jijini Dar es Salaam.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakiwa katika katika mkutano na Menejimenti ya Chuo cha Kodi wakati Kamati hiyo ilipofanya ziara kutembelea Chuo hicho kwa lengo la kuangalia utekelezaji wa majukumu ya chuo hicho.

Mkuu wa Chuo cha Uhasibu (TIA)  cha Jijini Dar es Salaam, Dkt. Joseph Kihanda akisoma taarifa ya utekezaji wa majukumu ya Chuo hicho kwa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakati Kamati hiyo ilipofanya ziara chuoni hapo

No comments:

Post a Comment