Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ametembelea Ikulu ya
Irani na kufanya mazungumzo na Rais wa Iran, Mheshimiwa Hassan Rouhani ambapo Mheshimiwa
Spika amempongeza kuteuliwa kwake kwa mara ya pili na kumuahidi ushirikiano wa karibu
baina ya Bunge la Tanzania na lile la Iran. Mheshimiwa Spika alikuwa miongoni
mwa wageni mashuhuri walioalikwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais Rouhani katika
sherehe zilizofanyika kwenye Bunge la Iran Mjini Tehran.
Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ametembelea Ikulu ya
Irani na kufanya mazungumzo na Rais wa Iran, Mheshimiwa Hassan Rouhani ambapo Mheshimiwa
Spika amempongeza kuteuliwa kwake kwa mara ya pili na kumuahidi ushirikiano wa karibu
baina ya Bunge la Tanzania na lile la Iran. Mheshimiwa Spika alikuwa miongoni
mwa wageni mashuhuri walioalikwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais Rouhani katika
sherehe zilizofanyika kwenye Bunge la Iran Mjini Tehran.
No comments:
Post a Comment