WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, August 29, 2017

KAMATI YA BAJETI YATEMBELEA CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM)

Wajumbe wa Kamati ya  Bunge ya Bajeti wakiwa kwenye kikao na Menejimenti ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM)  wakati walipofanya ziara  kutembelea Chuo hicho.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Doroth Mwanyika akijibu hoja mbalimbali za Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakati wajumbe hao walipotembelea Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM). Katikati ni Mwenyekiti wa Baraza la Chuo hicho, Prof. Lettice Rutashobya na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Mhe. Hawa Ghasia.

No comments:

Post a Comment