WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, September 7, 2017

RAIS DKT MAGUFULI APOKEA TAARIFA MBILI ZA KAMATI ZA BUNGE ZA KIUCHUNGUZI WA BIASHARA YA MADINI YA TANZANITE NA ALMASI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt John Pombe Magufuli akipokea  toka kwa Waziri Mkuu Mheshimiwa Kassim Majaliwa  ripoti  mbili za Kamati Maalum  za Bunge zilizofanya uchunguzi wa Biashara ya Madini ya Almasi na Tanzanite hapa nchini, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt John Pombe Magufuli akizungumza mara baada ya kupokea ripoti  mbili za Kamati Maalum  za Bunge zilizofanya uchunguzi wa Biashara ya Madini ya Almasi na Tanzanite Ikulu Jijini Dar es Salaam.
  Waziri Mkuu Mheshimiwa Kassim Majaliwa  akizungumza wakati wa kukabidhi ripoti za  kiuchunguzi  za Biashara ya Madini ya Tanzanite na Almasi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu Jijini Dar es Salaam.
  Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akizungumza wakati wa kukabidhi ripoti za  kiuchunguzi  za Biashara ya Madini ya Tanzanite na Almasi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu Jijini Dar es Salaam
       Mwenyekiti wa Kamati  Maalum ya Bunge iliyofanya uchunguzi wa Biashara ya Madini ya Tanzanite hapa nchini Mheshimiwa  Dotto Biteko akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi ripoti hiyo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu Jijini Dar es Salaam.
      Mwenyekiti wa Kamati  Maalum ya Bunge iliyofanya uchunguzi wa Biashara ya Madini ya Almasi hapa nchini Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi ripoti hiyo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu Jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mheshimiwa John Pombe Magufuli (katikati), katika picha ya pamoja na  Waziri Mkuu Mheshimiwa  Kassim Majaliwa (wa pili waliokaa kushoto) na Spika wa Bunge Job Ndugai (wa pili waliokaa kulia),  Mweyekiti wa Kamati  Maalum ya Bunge iliyofanya uchunguzi wa Biashara ya Madini ya Almasi hapa nchini Mhe Mussa Azzan Zungu  (wa kwanza kulia waliokaa) na Mweyekiti wa Kamati  Maalum ya Bunge iliyofanya uchunguzi wa Biashara ya Madini ya Tanzanite hapa nchini Mhe Dotto Biteko (wa kwanza kushoto waliokaa) na Wajumbe wa Kamati zote mbili (waliosimama) mara baada ya kuzipokea ripoti hizo Ikulu Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment