WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, October 31, 2017

KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) IKIWA KATIKA KIKAO CHAKE MJINI DODOMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali 

(PAC), Mheshimiwa Naghenjwa Kaboyoka akisisitiza 

jambo katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika 

Mjini 
Dodoma, kulia kwake ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mheshimiwa Aeshi Hilary.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali 

(PAC) wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo Mjini 

Dodoma.

Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu

 za Serikali (PAC), wakiwa katika mjadala wakati 

Kamati hiyo ilipokutana katika kikao chake Mjini 

Dodoma.

No comments:

Post a Comment