WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, December 15, 2017

SPIKA APOKEA BARUA ZA WABUNGE WAWILI KUJIUZULU UBUNGE

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari Mjini Dodoma baada ya kupokea barua ya Mhe. Said Abdalah Mtulia (CUF) na Mhe. Dkt. Godwin Aloyce Mollel (CHADEMA) ambao wamejiuzulu Ubunge, Mheshimiwa Spika amesema ameiandikia barua Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ili iendelee na hatua nyingine.
Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akizungumza na Waandishi wa Habari Mjini Dodoma baada ya kupokea barua ya Mhe. Said Abdalah Mtulia (CUF) na Mhe. Dkt. Godwin Aloyce Mollel (CHADEMA) ambao wamejiuzulu Ubunge, Mheshimiwa Spika amesema ameiandikia barua Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ili iendelee na hatua nyingine.


No comments:

Post a Comment