WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, March 19, 2018

KAMATI YA LAAC NA PAC ZAANZA ZIARA MKOA WA SINGIDA

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) wameanza ziara ya siku tano Mkoa wa Singida, pichani wakiwa katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo, Dkt. Rehema Nchimbi.

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu  za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) wakati Kamati hizo zilipomtembelea ofisini kwake kabla ya kuendelea na ziara Mkoani humo.  

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu  za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya Kamati hizo kukagua Jengo la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi Singida

No comments:

Post a Comment