Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa
Mussa Assad akijibu hoja za Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za
Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), baada ya
wajumbe hao kupatiwa semina kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu ukaguzi.
Semina hiyo imefanyika katika Ofisi za Ukaguzi Mkoa wa Iringa.
|
No comments:
Post a Comment