WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, April 18, 2018


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya nje, ulinzi na usalama, Mhe. Mussa Zungu akiongoza mazungumzo baina ya wajumbe wa kamati hiyo na Wabunge kutoka Bunge la Iran, walioongozwa na Mwenyekiti wa kamati ya urafiki baina ya Bunge la Tanzania na Iran, Mhe. Dkt. Ardeshir Noorian (wan ne kulia) na Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mhe. Mousa Frahang (watatu kulia) leo katika ofisi ya Bunge Mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment