Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo
ya nje, ulinzi na usalama, Mhe. Mussa Zungu akiongoza mazungumzo baina ya
wajumbe wa kamati hiyo na Wabunge kutoka Bunge la Iran, walioongozwa na
Mwenyekiti wa kamati ya urafiki baina ya Bunge la Tanzania na Iran, Mhe. Dkt.
Ardeshir Noorian (wan ne kulia) na Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mhe. Mousa
Frahang (watatu kulia) leo katika ofisi ya Bunge Mjini Dodoma.
No comments:
Post a Comment