WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, June 2, 2018

SPIKA WA BUNGE AFUNGUA RASMI MAONYESHO YA SEKTA YA MADINI


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akizungumza  na Waziri wa Madini, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Prof. Simon Msanjila (kulia) wakati wakielekea kwenye Maonyesho ya Madini yanayoendelea leo katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Maonyesho hayo yameanza  jana Tarehe 30, Mei, 2018 na yanategemea kumaliza Tarehe 1 Juni, 2018.


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akimsikiliza Kaimu Katibu Mkuu Mtendaji wa Mpango wa Uhamasishaji Uwazi katika Mapato ya Madini, Gesi Asilia na Mafuta (TEITI), Ndg. Mariam Mgaya (wa pili kushoto) wakati wa Maonyesho ya Madini yanayoendelea leo katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Watatu kulia ni Waziri wa Madini, Mhe. Angellah Kairuki na kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Prof. Simon Msanjila. Maonyesho hayo yameanza jana Tarehe 30, Mei, 2018 nakutegemea kumalizika Tarehe 1 Juni, 2018


Mwalimu wa Uchanjuaji Madini kutoka Chuo cha Madini Dodoma, Dkt. Abdulrahaman Mwanga (kushoto) akimuonyesha Mbale ya Shaba Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) wakati wa Maonyesho ya Madini yanayoendelea leo katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Watatu kulia ni Waziri wa Madini, Mhe. Angellah Kairuki na kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Prof. Simon Msanjila. Maonyesho hayo yameanza jana Tarehe 30, Mei, 2018 nakutegemea kumalizika Tarehe 1 Juni, 2018


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati), Waziri wa Madini, Mhe. Angellah Kairuki (Kushoto) pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Prof. Simon Msanjila (kulia) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya The Tanzanite Experience, Ndg. Hasnain Sajan (kulia) alipokuwa akiwapa maelezo kuhusiana na bidhaa mbalimbali zitokanazo na madini ya Tanzanite katika Maonyesho ya Madini yanayoendelea katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza wakati wa ufunguzi wa Maonyesho ya Madini leo katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Maonyesho hayo yameanza jana Tarehe 30, Mei, 2018 nakutegemea kumalizika Tarehe 1 Juni, 2018
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza wakati wa ufunguzi wa Maonyesho ya Madini leo katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Maonyesho hayo yameanza jana Tarehe 30, Mei, 2018 nakutegemea kumalizika Tarehe 1 Juni, 2018


No comments:

Post a Comment