WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, September 24, 2018

WABUNGE WA TANZANIA WATEMBELEA BUNGE LA CHINA

Wabunge wa Tanzania wakiwa ndani ya Bunge la China. Wabunge hao katika picha ni Mheshimiwa Fredy Mwakibete, Mheshimiwa kiza Mayeye, Mheshimiwa Maida Mustafa, Mheshimiwa Joram na Mheshimiwa M,unira Mustafa. Waheshimiwa hao wapo katika ziara ya mafunzo ya jinsi China wanavyotumia mikakati mbalimbali katika kutimiza malengo ya milenia.hii ni semina ya tatu kufanyika nchini humo na nchi saba zilishiriki.
Wabunge wa Tanzania wakiwa katika ziara ya mafunzo nchini China, wamepata nafasi ya kutembelea Bunge la China Beijing. Wabunge hao walialikwa na Bunge la China kufanya ziara katika Bunge lao.

No comments:

Post a Comment