WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, September 12, 2018

WANAFUNZI WAZURU BUNGENI KUPATA ELIMU KUHUSU BUNGE

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Kamati za Bunge Ndg. Dickson Bisile akitoa elimu kwa Wanafunzi kutoka Shule ya Jumapili ya Kanisa la Moravian Jimbo la Dodoma waliotembelea Bunge kwa lengo la kujifunza Shughuli mbalimbali zinazofanywa na Mhimili wa Bunge.
Afisa wa Bunge Ndg. Stanslaus Yusufu akifafanua jambo mbele ya Wanafunzi kutoka Shule ya Jumapili ya Kanisa la Moravian Jimbo la Dodoma waliotembelea Bunge kwa lengo la kujifunza Shughuli mbalimbali zinazofanywa na Mhimili wa Bunge.

No comments:

Post a Comment