Katibu wa Bunge la Vijana Ndugu Alhoncina S. Ambrosi (mwenye koti la bluu katikati) akiwapa utaratibu waheshimiwa wabunge kabla ya kuanza kikao cha pili cha Bunge la Vijana. |
Bunge la Vijana laendelea leo jijini Dodoma. kikao hicho kilianza mapema saa tatu kamili asubuhi katika ukumbi wa Msekwa uliopo katika viwanja vya Bunge. |
No comments:
Post a Comment