WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, November 22, 2018

SPIKA WA BUNGE LA VIJANA AONGOZA KIKAO CHA PILI CHA BUNGE LEO JIJINI DODOMA

Katibu wa Bunge la Vijana Ndugu Alhoncina S. Ambrosi (mwenye koti la bluu katikati) akiwapa utaratibu waheshimiwa wabunge kabla ya kuanza kikao cha pili cha Bunge la Vijana.
Spika wa Bunge la Vijana Mheshimiwa Zephania Sane aogoza kikao cha pili cha Bunge la Vijana kilichofanyika katika ukumbi wa Msekwa katika viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo jijini Dodoma.
Bunge la Vijana laendelea leo jijini Dodoma. kikao hicho kilianza mapema saa tatu kamili asubuhi katika ukumbi wa Msekwa uliopo katika viwanja vya Bunge.

No comments:

Post a Comment