WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, December 11, 2018

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA JAJI MKUU WILAYANI KONGWA

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ambae pia ni mbunge wa Jimbo la Kongwa akizungumza jambo katika Kikao kilichoendeshwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma kwa Watendaji wa Mahakama ya Wilaya ya Kongwa.

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai pamoja na Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma wakiwa katika picha ya pamoja na Watendaji mbalimbali wa Wilaya ya Kongwa.

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai (kulia) akijadiliana jambo na Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma mara baada ya Ziara ya Jaji Mkuu katika Mahakama ya Wilaya ya Kongwa.

No comments:

Post a Comment