WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, February 8, 2019

WAGENI MBALIMBALI WAENDELEA KUTEMBELEA BUNGE KWA LENGO LA KUJIFUNZA

Afisa Itifaki wa Ofisi ya Bunge Ndg. Patson Sobha akifafanua jambo alipokuwa akitoa elimu kwa Wageni mbalimbali waliotembelea Bunge kwa lengo la kujifunza namna Mhimili huo unavyofanya kazi zake hii leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Jijini Dodoma.

Wanafunzi kutoka Shule ya Sekondari Dakawa ya Mkoani Morogoro wakifuatilia kwa umakini maelezo kutoka kwa Maafisa wa Bunge walipokuwa wakitoa elimu kwa Wageni mbalimbali waliotembelea Bunge kwa lengo la kujifunza namna Mhimili huo unavyofanya kazi zake hii leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Jijini Dodoma.

Wanafunzi kutoka Chuo cha Elimu ya Biashara -CBE cha Jijini Dodoma wakifuatilia kwa umakini maelezo kutoka kwa Maafisa wa Bunge walipokuwa wakitoa elimu kwa Wageni mbalimbali waliotembelea Bunge kwa lengo la kujifunza namna Mhimili huo unavyofanya kazi zake hii leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment