KAMATI YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA YAJADILI BAJETI YA MKOA WA TABORA
Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala
na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Hamad Maalim akichangia jambo wakati Kamati
hiyo ikipokea taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019
pamoja na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2019/2020 ya Mkoa
wa Tabora kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mheshimiwa Agrey Mwanri akiwasilisha
taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019 pamoja na
makadirio ya mapato na matumizi ya kwa mwaka wa fedha 2019/2020 ya Mkoa huo
mbele ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kwenye Ukumbi
wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo.
Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala
na Serikali za Mitaa wakifuatilia taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa
fedha 2018/2019 pamoja na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha
2019/2020 ya Mkoa wa Tabora kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo.
No comments:
Post a Comment