WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, March 22, 2019

BUNGE SPORTS CLUB YAITAKIA HERI TAIFA STARS.



Mwenyekiti wa Timu ya Michezo ya Bunge (Bunge 

Sports Club), Mhe. William Ngereja akizungumza na 

waandishi wa habari kuitakia heri Timu ya Soka ya 

Taifa (Taifa Stars) katika mchezo wake wa kufuzu 

Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya 

Uganda inatoyatarajiwa kuchezwa tarehe 24 Machi, 

2019 Jijini Dar es Salaam, Mkutano huo ulifanyikakatika 

Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kushoto ni Kocha Mkuu 

wa Timu hiyo, Mhe. Vanance Mwamoto na Katibu Wa 

Timu, Ndugu Waziri Kizingiti. 


Mwenyekiti wa Timu ya Michezo ya Bunge (Bunge 

Sports Club), Mhe. William Ngereja akizungumza na 

waandishi wa habari kuitakia heri Timu ya Soka ya 

Taifa (Taifa Stars) katika mchezo wake wa kufuzu 

Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya 

Uganda inatoyatarajiwa kuchezwa tarehe 24 Machi, 

2019 Jijini Dar es Salaam, Mkutano huo ulifanyikakatika 

Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. 

Mwenyekiti wa Timu ya Michezo ya Bunge (Bunge Sports Club), Mhe. William Ngereja akizungumza na waandishi wa habari kuitakia heri Timu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars) katika mchezo wake wa kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Uganda inatoyatarajiwa kuchezwa tarehe 24 Machi, 2019 Jijini Dar es Salaam, Mkutano huo ulifanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. 


No comments:

Post a Comment