WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, March 26, 2019

NAIBU SPIKA AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) JIJINI ARUSHA


Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akifungua kikao cha Tano cha Amani na Usalama cha Baraza la Wabunge wa Mabunge ya Jumuiya ya nchi za Maziwa makuu (FP-ICGLR) kilichofanyika hii leo Jijini Arusha.

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa kikao cha Tano cha Amani na Usalama cha Baraza la Wabunge wa Mabunge ya Jumuiya ya nchi za Maziwa makuu (FP-ICGLR)  kilichofanyika hii leo Jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment