WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Sunday, June 30, 2019

MAAFISA WA BUNGE WAKITOA ELIMU KWA UMMA KUHUSU BUNGE KATIKA MAONYESHO YA 43 YA SABASABA YANAYOENDELEA JIJINI DAR ES SALAAM

Maafisa wa Bunge wakitoa Elimu kwa Umma kuhusu Bunge kwa Wageni mbalimbali waliotembelea Banda la Bunge lililopo katika Maonyesho ya 43 ya Kimataifa ya Sabasaba Jijini Dar es Salaam  hii leo

Afisa wa Bunge Ndg. Thomas Shawa akitoa Elimu kwa Umma kuhusu Bunge kwa Wageni mbalimbali waliotembelea Banda la Bunge lililopo katika Maonyesho ya 43 ya Kimataifa ya Sabasaba Jijini Dar es Salaam  hii leo

Afisa wa Bunge Ndg. James Sapali akitoa Elimu kwa Umma kuhusu Bunge kwa Wageni mbalimbali waliotembelea Banda la Bunge lililopo katika Maonyesho ya 43 ya Kimataifa ya Sabasaba Jijini Dar es Salaam  hii leo

No comments:

Post a Comment