WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, August 15, 2019

BARAZA LA WAFANYAKAZI WA OFISI YA BUNGE LANDELEA NA KIKAO

Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akizungumza katika kikao kilichofanyika katika Ofisi  Ndogo za Bunge, Tunguu Zanzibar, pamoja naye ni Katibu wa Baraza Ndugu Frank Mbilinyi.

Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akizungumza katika kikao kilichofanyika katika Ofisi  Ndogo za Bunge, Tunguu Zanzibar, pamoja naye ni Katibu wa Baraza Ndugu Frank Mbilinyi.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Afya na Serikali Kuu (TUGHE), Tawi la Bunge, Ndugu Chacha Nyakega akitoa nasaha za chama hicho katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge lililofanyika katika Ofisi ndogo za Bunge, Tunguu Zanzibar.

Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Afya na Serikali Kuu (TUGHE), Tawi la Bunge, Ndugu Chacha Nyakega akitoa nasaha za chama hicho katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge lililofanyika katika Ofisi ndogo za Bunge, Tunguu Zanzibar.
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge wakifuatilia mada kuhusu Umuhimu wa Kuzingatia Maadili katika Utumishi wa Umma katika shughuli za Bunge kilichofanyika Ofisi Ndogo za Bunge, Tunguu Zanzibar

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge wakifuatilia mada kuhusu Umuhimu wa Kuzingatia Maadili katika Utumishi wa Umma katika shughuli za Bunge kilichofanyika Ofisi Ndogo za Bunge, Tunguu Zanzibar



No comments:

Post a Comment