WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, August 23, 2019

KATIBU WA BUNGE ATEMBELEWA NA JAJI MFAWIDHI WA MAHAKAMA KUU KANDA YA DODOMA



Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akizungumza na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma, Mhe. Lameck Mlacha wakati Jaji huyo alipomtembelea Ofisini kwake Bungeni Jjijini  Dodoma.


Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akiwa katika picha ya pamoja na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma, Mhe. Lameck Mlacha wakati Jaji huyo alipomtembelea Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akiagana na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma, Mhe. Lameck Mlacha mara baada ya Jaji huyo kumtembelea Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment