WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, August 30, 2019

SPIKA WA BUNGE, MHE.JOB NDUGAI AWASILI ZANZIBAR

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai amewasili Uwanja wa Ndege wa Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika, katikati ni Mwenyekiti wa CPA Tawi la Zanzibar, Mhe. Simai Mohammed Said na Katibu wa CPA Kanda ya Afrika, Ndugu Stephen Kagaigai. Mkutano huo utaanza Agosti 30 hadi Septemba 5, 2019 katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai amewasili Uwanja wa Ndege wa Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika, katikati ni Mwenyekiti wa CPA Tawi la Zanzibar, Mhe. Simai Mohammed Said na Katibu wa CPA Kanda ya Afrika, Ndugu Stephen Kagaigai. Mkutano huo utaanza Agosti 30 hadi Septemba 5, 2019 katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai amewasili Uwanja wa Ndege wa Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika, katikati ni Mwenyekiti wa CPA Tawi la Zanzibar, Mhe. Simai Mohammed Said na Katibu wa CPA Kanda ya Afrika, Ndugu Stephen Kagaigai. Mkutano huo utaanza Agosti 30 hadi Septemba 5, 2019 katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa.

No comments:

Post a Comment