WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, August 9, 2019

WAGENI MBALIMBALI WATEMBELEA BANDA LA BUNGE KWENYE MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Modern ya Jijini Dodoma wakifurahia Siwa wakati walipotembelea banda la Bunge kwenye Maonesho ya Wakulima ya Nanenane Jijini Dodoma hii leo. Kushoto ni Afisa Utafiti wa Ofisi ya Bunge Ndg. Aziza Makwai akiwasaidia Wanafunzi hao namna ya kubeba Siwa.

Afisa wa Bunge Ndg. Hosiana John akitoa Elimu kwa mgeni aliyetembelea banda la Bunge hii leo kwenye Maonesho ya Wakulima ya Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma.

Afisa wa Bunge Ndg. Mohamed Salim akitoa Elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Dodoma walipotembelea banda la Bunge kwenye Maonesho ya Wakulima ya Nanenane Jijini Dodoma hii leo.

No comments:

Post a Comment