WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, August 2, 2019

WATUMISHI WA OFISI YA BUNGE WAKUTANA KUCHAGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI BUNGENI

Watumishi wa Ofisi ya Bunge wakifuatilia jambo kwa makini Bunge walipokuwa wakichagua Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo kwenye ukumbi wa Msekwa hii leo Jijini Dodoma. 

Katibu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE) Mkoa wa Dodoma Ndg. John Mchenya akiongea na Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge walipokuwa wakichagua Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo kwenye ukumbi wa Msekwa hii leo Jijini Dodoma. 

Mtumishi wa Ofisi ya Bunge Ndg. Frank Ngonyani akichangia jambo mbele ya kikao cha  Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge walipokuwa wakichagua Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo kwenye ukumbi wa Msekwa hii leo Jijini Dodoma. 

Mtumishi wa Ofisi ya Bunge Bi. Jane Ndulesi akichangia jambo mbele ya kikao cha  Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge walipokuwa wakichagua Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo kwenye ukumbi wa Msekwa hii leo Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment