WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, November 22, 2019

SPIKA ALIFUNGA BUNGE LA VIJANA MWAKA 2019

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Katibu wa Bunge la Vijana mwaka 2019, Ndugu Winfrida Gavana kabla ya kufunga Bunge hilo lilikuwa likiendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Wa pili kushoto ni Katibu Mezani wa Bunge la Vijana, Ndugu Dolvin Olomi na Spika wa Bunge la Vijana Ndugu, Ramadhani Singa. 

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akitoa Hotuba ya Kufunga Bunge la Vijana mwaka 2019, lillilokuwa likiendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. 

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akitoa Hotuba ya Kufunga Bunge la Vijana mwaka 2019, lillilokuwa likiendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. 

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akitoa Hotuba ya Kufunga Bunge la Vijana mwaka 2019, lillilokuwa likiendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. 

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana wabunge wa

 Bunge la Vijana mwaka 2019 mara baada ya kulifunga Bunge hilo

lililokuwa likiendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana wabunge wa

Bunge la Vijana mwaka 2019 mara baada ya kulifunga Bunge hilo

lililokuwa likiendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma

No comments:

Post a Comment