WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, November 20, 2019

KIKAO CHA BUNGE LA SITA LA VIJANA CHAENDELEA HII LEO JIJINI DODOMA

Naibu Spika wa Bunge la sita la Vijana mwaka 2019 Ndg. Monica Majiba  akiongoza kikao cha Bunge hilo kilichoendelea hii leo kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.

Sehemu ya Wabunge wa Bunge la sita la Vijana mwaka 2019 wakifuatilia kwa makini kikao cha Bunge hilo kilichoendelea hii leo kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.



No comments:

Post a Comment