| 
Naibu
Spika wa Bunge la sita la Vijana mwaka 2019 Ndg. Monica Majiba  akiongoza kikao cha Bunge hilo kilichoendelea
hii leo kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.  | 
| Sehemu ya Wabunge wa Bunge la sita la Vijana mwaka 2019 wakifuatilia kwa makini kikao cha Bunge hilo kilichoendelea hii leo kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. | 
 
 
No comments:
Post a Comment