WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, December 13, 2019

KIKAO CHA TATHIMINI YA MRADI WA LSP II CHAFANYIKA MJINI BAGAMOYO

Mratibu wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP II), Mary Laswai akitoa mada  kuhusu utekelezaji wa Mradi huo kwa mwaka 2019 katika Kikao cha Tathimini ya utekelezaji wa Mpango kazi wa mradi kwa Mwaka 2019. Pembeni yake ni Mshauri Mkuu wa Mradi, Ndugu Takawira Musavengana. Kikao hicho kimefanyika leo Mjini Bagamoyo.Kikao hicho pia kitapitia Rasimu ya Mpango Kazi wa Mradi wa mwaka 2020.

Mshauri Mkuu wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP II), Ndugu Takawira Musavengana akisisitiza jambo katika Kikao cha Tathimini ya utekelezaji wa Mpango kazi wa mradi kwa Mwaka 2019. Pembeni yake ni  Mratibu wa Mradi huo, Mary Laswai. Kikao hicho kimefanyika leo Mjini Bagamoyo ambapo pia wajumbe watapitia Rasimu ya Mpango Kazi wa Mradi wa mwaka 2020.

Wajumbe wa Kikao cha Tathimini ya utekelezaji wa Mpango kazi wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP II) wakiwa katika kikao kilichofanyika leo hii Mjini Bagamoyo. Kikao hicho pia Kitapitia Rasimu ya Mpango Kazi wa Mradi wa mwaka 2020.

Baadhi ya wajumbe wa Kikao cha Tathimini ya utekelezaji wa Mpango kazi wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP II) wakiwa katika kikao kilichofanyika leo hii Mjini Bagamoyo. Kikao hicho pia Kitapitia Rasimu ya Mpango Kazi wa Mradi wa mwaka 2020.

No comments:

Post a Comment