WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, January 21, 2020

KAMATI YA NISHATI NA MADINI YAKUTANA NA WIZARA YA MADINI

Waziri wa Madini , Mhe. Doto Biteko akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Wizara hiyo iliwasilisha taarifa ya upatinakaji wa fedha na utekelezaji wa majukumu katika kipindi cha nusu mwaka  pamoja na taarifa ya kuhusu hatua zilizofikiwa katika uendelezaji wa leseni katika mradi wa Liganga na Mchuchuma.

Waziri wa Madini , Mhe. Doto Biteko akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Wizara hiyo iliwasilisha taarifa ya upatinakaji wa fedha na utekelezaji wa majukumu katika kipindi cha nusu mwaka  pamoja na taarifa ya hatua zilizofikiwa katika uendelezaji wa leseni katika mradi wa Liganga na Mchuchuma. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Simon Msanjila.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Dustan Kitandula akisisitiza jambo katika kikao cha Kamati hiyo lichofanyika Bungeni Jijini Dodoma. Kamati hiyo ilipokea taarifa ya Wizara ya Madini kuhusu upatinakaji wa fedha na utekelezaji wa majukumu katika kipindi cha nusu mwaka pamoja na taarifa ya hatua zilizofikiwa katika uendelezaji wa leseni katika mradi wa Liganga na Mchuchuma. Kulia ni Katibu wa Kamati hiyo, Ndugu Felister Mgonja.


No comments:

Post a Comment