Waziri
wa Madini , Mhe. Doto Biteko akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Nishati
na Madini kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Wizara hiyo
iliwasilisha taarifa ya upatinakaji wa fedha na utekelezaji wa majukumu katika
kipindi cha nusu mwaka pamoja na taarifa
ya hatua zilizofikiwa katika uendelezaji wa leseni katika mradi wa Liganga na
Mchuchuma. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Simon Msanjila.
|
No comments:
Post a Comment