WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, January 17, 2020

KAMATI YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA YAKUTANA NA TAMISEMI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa. Kikao hicho cha Kamati kilifanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakiwa katika kikao cha Kamati Bungeni Jijini Dodoma ambapo walikutana na watendaji wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wakiongozwa na Waziri Mhe. Selemani Jafo.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Mwanne Nchemba akizungumza katika kikao cha kamati hiyo kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma ambapo walikutana na na watendaji wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wakiongozwa na Waziri Mhe. Selemani Jafo.

No comments:

Post a Comment