WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, January 17, 2020

KAMATI YA NISHATI NA MADINI YAKUTANA NA TPDC

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini wakiwa katika kikao cha kamati kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, ambapo kamati ilipokea Taarifa ya utekelezaji na hali ya upatikanaji wa fedha za maendeleo katika Kampuni ya Taifa ya Mafuta (TPDC) kwa kipindi cha nusu mwaka.


Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akisikiliza kwa makini hoja za wabunge katika katika kikao cha kamati kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, ambapo kamati ilipokea Taarifa ya utekelezaji na hali ya upatikanaji wa fedha za maendeleo katika Kampuni ya Taifa ya Mafuta (TPDC) kwa kipindi cha nusu mwaka.kulia ni Mwanasheria  Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Dunstan Kitandula akisikiliza hoja za wajumbe katika kikao cha kamati kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, ambapo kamati ilipokea Taarifa ya utekelezaji na hali ya upatikanaji wa fedha za maendeleo katika Kampuni ya Taifa ya Mafuta (TPDC) kwa kipindi cha nusu mwaka.kulia ni Katibu wa Kamati hiyo Felister 

No comments:

Post a Comment