Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akisikiliza kwa makini hoja za wabunge katika katika kikao cha kamati kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, ambapo kamati ilipokea Taarifa ya utekelezaji na hali ya upatikanaji wa fedha za maendeleo katika Kampuni ya Taifa ya Mafuta (TPDC) kwa kipindi cha nusu mwaka.kulia ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi.
|
No comments:
Post a Comment