Waziri
wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya
Nishati. Wizara hiyo iliwasilisha taarifa kuhusu utekelezaji na hali ya upatikanaji
wa fedha za Miradi ya Kusambaza Umeme Vijijini (REA).Pembeni yake ni Naibu
Waziri wa wizara hiyo, Mhe. Subura Mgalu. Kikao hicho cha kamati kimefanyika
katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
|
No comments:
Post a Comment