WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, January 15, 2020

WAJUMBE WA KAMATI YA NISHATI WAJADILI TAARIFA YA REA

Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Nishati. Wizara hiyo iliwasilisha taarifa kuhusu utekelezaji na hali ya upatikanaji wa fedha za Miradi ya Kusambaza Umeme Vijijini (REA).Pembeni yake ni Naibu Waziri wa wizara hiyo, Mhe. Subura Mgalu. Kikao hicho cha kamati kimefanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati, Mhe. Dunstan Kitandula akizungumza katika kikao cha Kamati. Kamati hiyo ilipokea na kujadili taarifa kuhusu utekelezaji na hali ya upatikanaji wa fedha za Miradi ya Kusambaza Umeme Vijijini (REA).Pembeni yake ni Katibu wa Kamati hiyo Felister Mgonja. Kikao hicho cha kamati kimefanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nishati wakiwa katika kikao cha kamati hiyo ambapo walikutana na watendaji wa Wizara ya Nishati na Wakala wa Umeme Vijijni. Kikao hicho cha kamati kimefanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.



No comments:

Post a Comment