WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Sunday, March 8, 2020

WAFANYAKAZI WA BUNGE WAPATIWA MAFUNZO KUHUSIANA NA MAADILI NA UTUNZAJI WA SIRI


Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai amefungua mafunzo kwa watumishi wa Ofisi ya Bunge, kuhusu maadili, utunzaji wa siri mahala pa kazi, UKIMWI na ugonjwa wa Korona.Mafunzo hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai amefungua mafunzo kwa watumishi wa Ofisi ya Bunge, kuhusu maadili, utunzaji wa siri mahala pa kazi, UKIMWI na ugonjwa wa Korona.Mafunzo hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Wafanyakazi wa Bunge wakifuatilia mada katika mafunzo hayo.

Wafanyakazi wa Bunge wakifuatilia mada katika mafunzo hayo. 

No comments:

Post a Comment